Wednesday, August 19, 2015

CHADEMA YATANGAZA WAGOMBEA UBUNGE 2015.

POSTED WEDNESDAY, AUGUST 19, 2015 | BY- MWANANCHI.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza majina ya wagombea ubunge katika majimbo Mgombea ubunge Jimbo la Mbarali kwa tiketi ya Chadema, Liberatus Mwang’ombe akiwaonyesha wafuasi wake, bahasha yenye fomu ya kugombea kiti hicho baada ya kuzichukua katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mbarali, Mbeya jana. Picha na Godfrey Kahango Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza majina ya wagombea ubunge katika majimbo 135 yaliyoteuliwa na Kamati Kuu yakiwamo ya wabunge na makada wa CCM waliohamia katika chama hicho. Taarifa iliyotolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema – Bara, John Mnyika iliorodhesha majina ya wagombea wote na majimbo yao isipokuwa 12 ambayo hayajafikiwa maafikiano ndani ya Ukawa. Katika orodha hiyo wamo baadhi ya waliokuwa wabunge na makada wa CCM, Ester Bulaya aliyeteuliwa kugombea Bunda Mjini, James Lembeli (Kahama Mjini) na Said Nkumba (Sikonge). Pia, katika orodha hiyo ambayo imechapishwa katika Ukurasa wa 35 wa gazeti hili, aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole ameteuliwa kugombea ubunge jimbo la Longido kwa tiketi ya Chadema. Vilevile, kada wa Chadema, Fred Mpendazoe ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Kishapu kwa tiketi ya CCM, atagombea katika jimbo hilo kwa tiketi ya Chadema baada ya kulikimbia Jimbo la Segerea alilogombea mwaka 2010 na kuangushwa na Dk Makongoro Mahanga ambaye naye amejiunga na Chadema hivi karibuni. Orodha hiyo pia inajumuisha jina la Naibu Waziri wa zamani wa Kilimo, Njelu Kasaka aliyehamia Chadema, kugombea katika jimbo la Lupa. Baadhi ya wagombea ambao walishindwa kwenye kura za maoni na kurudishwa na Kamati Kuu ni pamoja na Mwita Waitara (Ukonga) na Ansbert Ngurumo (Muleba Kaskazini). Mgawanyo wa majimbo balaa Wakati huohuo; mgawanyo ya majimbo chini ya Ukawa na uamuzi wa Chadema kuwarejesha baadhi ya wagombea ubunge walioshindwa katika kura ya maoni ulizua sintofahamu katika maeneo kadhaa. Hali hiyo siku moja baada ya Ukawa kutangaza mgawanyo wa majimbo na Chadema kupata 138, CUF 99, NCCR 14 na NLD matatu. Pamoja na mgawanyo huo ulioelezwa kufanyika baada ya kuafikiana, hali ya sintofahamu iliibuka katika jimbo la Mbarali mkoani Mbeya baada ya makada wa Chadema na CUF kuchukua fomu za kugombea ubunge, kinyume na uamuzi wa kusimamisha mgombea mmoja. Maeneo mengine yanayotajwa kuwa na mvutano mkali kuhusu mgawanyo wa majimbo ni Solwa, Singida Mjini, Kilombero na Kibaha. “Kuna baadhi ya majimbo makada wa Chadema wamekilalamikia chama hicho wakidai kuwa kina nguvu zaidi, hivyo kitendo cha kuachia majimbo hayo kupewa vyama vingine vinavyounda Ukawa ni sawa na kuyapoteza kwa sababu ya vyama hivyo kutokuwa na mtandao na kuwa na wagombea wasio na nguvu,” kilieleza chanzo cha habari hizo. Hata hivyo, chanzo hicho kilisema majadiliano yalikuwa yanafanyika. Mbarali Katika Jimbo la Mbarali, mgombea wa Chadema Liberatus Mwang’ombe alichukua fomu za ubunge katika Ofisi za Msimamizi wa Uchaguzi na kuungana na Gamdusti Juma Haji (CUF) aliyechukua fomu hizo Agosti 15. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wenyeviti wa wilaya wa vyama hivyo, walisema kila chama kimefikia uamuzi huo baada ya kutokubaliana kuachiana jimbo hilo. Mwenyekiti wa Chadema Mbarali, Peter Mwashiti alisema walifikia uamuzi wa kumruhusu Mwang’ombe kuchukua fomu hiyo kutokana na kushindwa kuelewana baina yao na wenzao wa CUF. Alisema awali walipewa taarifa kwamba kamati kuu ya Ukawa iliamua jimbo hilo lichukuliwe na CUF lakini wao (Chadema wilaya) wakapeleka vielelezo kwamba mgombea aliyependezwa na CUF pamoja na chama chenyewe hawana nguvu ya kushindana na CCM. “Wakati tunaendelea na vikao vyetu, tukasikia mgombea wa CUF amechukua fomu, hivyo na sisi tumeamua mgombea wetu akachukue fomu wakati tunaendelea na vikao,” alisema Mwashiti. Mwenyekiti wa CUF wa wilaya hiyo, Bob Magagula alisema walifikia uamuzi huo baada ya kukosekana kwa uaminifu miongoni mwa viongozi wa vyama hivyo ngazi ya wilaya. “Chadema hawamuamini kabisa mgombea wetu, wakati sisi CUF tunamkubali… na sababu kubwa eti mgombea wetu anatumika na mgombea wa CCM kwa vile tu ni ndugu japo kuna ukweli kwamba hawa jamaa ni ndugu lakini hii si sababu ya kumkataa,” alisema. Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro, wanachama watatu wa Chadema akiwamo Katibu wa Mkoa Kilimanjaro, Basil Lema jana walijeruhiwa baada kupigwa na vijana wa ulinzi wa chama hicho katika mzozo wa kurudiwa kura za maoni Katika vurugu hizo zilizotokea jana, Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Chadema, Anthony Komu anadaiwa kuchomoa bastola yake kabla ya kuzuiwa na ofisa usalama wa Chadema, Allan Bujo.

COMMONWEALTH SCHOLARSHIPS TENABLE IN SOUTH AFRICA: 2016 AWARDS.

Applications are invited from qualified Tanzanians for Masters and Doctorate programmes under the Commonwealth Scholarships and Fellowship Plan (CSFP).

QUALIFICATIONS
Applicants should meet all entry requirements which are found under University of choice together with language requirements. 

MODE OF APPLICATION
  • Completely filled forms should be sent directly to: commonwealthscholarships@dhet.gov.za
  • Deadline for submission of application forms not later than is 7th September, 2015.
  • Tanzanian applicants are advised to send a printed copy of completely filled application form to the Country Agency through the following address:-

The Permanent Secretary,
Ministry of Education and Vocational Training,
7 Magogoni Street,
Post Code 11479,
P. O. Box 9121,
DAR ES SALAAM

KUITWA KWENYE USAILI-TPDC.

Job Advert - EWURA.

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES - DUCE.

CALL FOR ORAL INTERVIEW - BOT.

JOB VACANCIES - TANZANIA POSTAL BANK.


JOB VACANCIES - EASTEC & ADEM.

Saturday, August 8, 2015

Ligi kuu Uingereza, Manchester United 1- Totternham Hotspers 0

Ligi kuu nchini Uingereza imeanza rasmi Leo kwa mchezo wa ufunguzi ulio wakutanisha Manchester United na Tottenham Hotspers katika uwanja was Oldtraford. Man U wameweza kuanza vizuri kwa kutoka kifua mbele kwa goli 1-0 bao lklilopatikana mnamo dakika ya 22 baada ya Kyle Walker kujifunga.

Wednesday, July 15, 2015

BS SCHOLARSHIPS.

Vituo vya Usaili (20/07/2015)

VITUO KWA KADA ZITAKAZOFANYA USAILI TAREHE 20/07/2015
NA
MKOA
KITUO CHA USAILI
MUDA
1
IRINGA
HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA IRINGA
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
2
TABORA
CHUO CHA UHAZILI - TPSC
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
3
DODOMA
CHUO CHA MIPANGO NA MAENDELEO VIJIJINI (IRDP)
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
4
MBEYA
TAASISI YA UHASIBU TANZANIA (TIA)
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
5
MWANZA
SHULE YA SEKONDARI MWANZA
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
6
MTWARA
CHUO CHA WAGANGA WASAIDIZI MTWARA MJINI
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
7
ARUSHA
CHUO CHA UHASIBU ARUSHA (IAA)
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI

NA
MKOA
KITUO
KADA
MUDA
8
DAR ES SALAAM
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA UALIMU DAR ES SALAAM (DUCE)
AUDITOR II
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
AUDITOR-TAXATION
AUDITOR II-FORENSIC
EDUCATION OFFICER
ENGINEER II
LEGAL OFFICER
PROCUREMENT SPECIALIST
SAA TATU KAMILI ASUBUHI

Tangazo la kuitwa mwenye usaili - Utumishi.

Kuitwa kwenye usaili - Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (NAO).

Wednesday, July 8, 2015

SCHOLARSHIPS FROM THE GOVERNMENT OF THE DEMOCRATIC PEOPLE’S REPUBLIC OF ALGERIA ACADEMIC 2015/2016.

Application is invited from qualified Tanzanians to pursue undergraduate degree programmes in Algeria for the year 2015/2016.   The student will be required to study one year for French Language before starting undergraduate programme.

FIELDS OF STUDY
  • Doctor in Pharmacy ;
  • Doctor of Dental Medicine ;
  • Economic, Management and Commercial Sciences ;
  • Mathematics and Computer Science
  • State Engineer in Telecommunication ;
  • Science and Technology  ;
  • Science of Nature and Life ;
  • Matter Sciences ;
  • French Language
  • English Language ;
  • Islamic Science . 
1.      QUALIFICATIONS
Applicants must:-
  • Have completed and passed Advanced Certificate of Secondary Education and have obtained an average grade of “B” in the relevant subject;
  • Not  be admitted in Higher Learning Institutions;
  • Not be older than 25 years of age by September, 2015;
  • Have good health.
2.      SELECTED CANDIDATES WILL:
Selected  students will be informed  after been selected.
Needy students may apply for a loans from the Higher Education Students Loans Board (HESLB).
3.      MODE OF APPLICATION
  • Applicants must indicate reliable contact telephone number.
  • Form Six graduates of 2015 are encouraged to apply after getting their examination results.
  • All application should be done through Central Admission System (CAS) hosted by TCU.  The deadline will be 25 July, 2015.

Issued byPermanent Secretary,
Ministry of Education and Vocational Training,
7 Magogoni Street,
Post Code 11479,
P.O.BOX 9121,

DAR ES SALAAM.

PHD SCHOLARSHIPS OPPORTUNITY 2015.

Tuesday, June 30, 2015

MSc and PhD Opportunities from IDRC

Click here (Bofya hapa)

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES - DUCE.

Matokeo ya usaili wa mchujo TTSA 29-06-2015

Wasailiwa waliofaulu kuendelea na usaili wa mahojiano, Mahali ni Ofisi za Tanzania Tree Seed Agency (TTSA) Morogoro, tarehe 30-06-2015 saa moja kamili asubuhi, aidha wasailiwa wanakumbushwa kufika wakiwa na vyeti vyao halisi (Original Certificates)
Na.    EXAMINATION NUMER              SCORE    REMARKS
              
1    TTSA MARKETING OFF 0028          65    SELECTED
2    TTSA MARKETING OFF 0016          60    SELECTED
3    TTSA MARKETING OFF 0107          56    SELECTED
4    TTSA MARKETING OFF 0060          55    SELECTED
5    TTSA MARKETING OFF 0082          51    SELECTED

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...