Saturday, August 8, 2015

Ligi kuu Uingereza, Manchester United 1- Totternham Hotspers 0

Ligi kuu nchini Uingereza imeanza rasmi Leo kwa mchezo wa ufunguzi ulio wakutanisha Manchester United na Tottenham Hotspers katika uwanja was Oldtraford. Man U wameweza kuanza vizuri kwa kutoka kifua mbele kwa goli 1-0 bao lklilopatikana mnamo dakika ya 22 baada ya Kyle Walker kujifunga.

Wednesday, July 15, 2015

BS SCHOLARSHIPS.

Vituo vya Usaili (20/07/2015)

VITUO KWA KADA ZITAKAZOFANYA USAILI TAREHE 20/07/2015
NA
MKOA
KITUO CHA USAILI
MUDA
1
IRINGA
HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA IRINGA
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
2
TABORA
CHUO CHA UHAZILI - TPSC
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
3
DODOMA
CHUO CHA MIPANGO NA MAENDELEO VIJIJINI (IRDP)
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
4
MBEYA
TAASISI YA UHASIBU TANZANIA (TIA)
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
5
MWANZA
SHULE YA SEKONDARI MWANZA
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
6
MTWARA
CHUO CHA WAGANGA WASAIDIZI MTWARA MJINI
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
7
ARUSHA
CHUO CHA UHASIBU ARUSHA (IAA)
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI

NA
MKOA
KITUO
KADA
MUDA
8
DAR ES SALAAM
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA UALIMU DAR ES SALAAM (DUCE)
AUDITOR II
SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
AUDITOR-TAXATION
AUDITOR II-FORENSIC
EDUCATION OFFICER
ENGINEER II
LEGAL OFFICER
PROCUREMENT SPECIALIST
SAA TATU KAMILI ASUBUHI

Tangazo la kuitwa mwenye usaili - Utumishi.

Kuitwa kwenye usaili - Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (NAO).

Wednesday, July 8, 2015

SCHOLARSHIPS FROM THE GOVERNMENT OF THE DEMOCRATIC PEOPLE’S REPUBLIC OF ALGERIA ACADEMIC 2015/2016.

Application is invited from qualified Tanzanians to pursue undergraduate degree programmes in Algeria for the year 2015/2016.   The student will be required to study one year for French Language before starting undergraduate programme.

FIELDS OF STUDY
  • Doctor in Pharmacy ;
  • Doctor of Dental Medicine ;
  • Economic, Management and Commercial Sciences ;
  • Mathematics and Computer Science
  • State Engineer in Telecommunication ;
  • Science and Technology  ;
  • Science of Nature and Life ;
  • Matter Sciences ;
  • French Language
  • English Language ;
  • Islamic Science . 
1.      QUALIFICATIONS
Applicants must:-
  • Have completed and passed Advanced Certificate of Secondary Education and have obtained an average grade of “B” in the relevant subject;
  • Not  be admitted in Higher Learning Institutions;
  • Not be older than 25 years of age by September, 2015;
  • Have good health.
2.      SELECTED CANDIDATES WILL:
Selected  students will be informed  after been selected.
Needy students may apply for a loans from the Higher Education Students Loans Board (HESLB).
3.      MODE OF APPLICATION
  • Applicants must indicate reliable contact telephone number.
  • Form Six graduates of 2015 are encouraged to apply after getting their examination results.
  • All application should be done through Central Admission System (CAS) hosted by TCU.  The deadline will be 25 July, 2015.

Issued byPermanent Secretary,
Ministry of Education and Vocational Training,
7 Magogoni Street,
Post Code 11479,
P.O.BOX 9121,

DAR ES SALAAM.

PHD SCHOLARSHIPS OPPORTUNITY 2015.

Tuesday, June 30, 2015

MSc and PhD Opportunities from IDRC

Click here (Bofya hapa)

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES - DUCE.

Matokeo ya usaili wa mchujo TTSA 29-06-2015

Wasailiwa waliofaulu kuendelea na usaili wa mahojiano, Mahali ni Ofisi za Tanzania Tree Seed Agency (TTSA) Morogoro, tarehe 30-06-2015 saa moja kamili asubuhi, aidha wasailiwa wanakumbushwa kufika wakiwa na vyeti vyao halisi (Original Certificates)
Na.    EXAMINATION NUMER              SCORE    REMARKS
              
1    TTSA MARKETING OFF 0028          65    SELECTED
2    TTSA MARKETING OFF 0016          60    SELECTED
3    TTSA MARKETING OFF 0107          56    SELECTED
4    TTSA MARKETING OFF 0060          55    SELECTED
5    TTSA MARKETING OFF 0082          51    SELECTED

Tuesday, June 23, 2015

Matokeo ya usaili wa mchujo IRDP 22-Juni-2015

Matokeo ya usaili wa mchujo uliofanyika katika chuo cha Mipango (IRDP) Dodoma 22-Juni-2015
wasailiwa waliofaulu usaili wa mchujo wanakumbushwa kuwa usaili wa mahojiano utafanyika tarehe 24-Juni-2015 katika Chuo cha Mipango (IRDP) Dodoma kuanzia saa moja kamili asubuhi, wasailiwa wote wanakumbushwa kuja na vyeti vyote halisi (original certificates)

KADA: INTERNAL AUDITOR II               
MWAJIRI: INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING (IRDP)
               
S/N   EXAMINATION NUMBER       SCORE    REMAKRS

1      IRDP IA 0005           78.5    SELECTED
2      IRDP IA 0013           70    SELECTED
3      IRDP IA 0011           51.5    SELECTED
4      IRDP IA 0008           27.5    NOT SELECTED


KADA: ASSISTANT DEAN OF STUDENT III               
MWAJIRI: INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING (IRDP)   
           
S/N    EXAMINATION NUMBER        SCORE    REMARKS
1    IRDP ASS DEAN STU 0082        78    SELECTED
2    IRDP ASS DEAN STU 0018        77.5    SELECTED

Thursday, June 18, 2015

JOB VACANCIES - MUHAS.

JOB VACANCY - TPDC (RISK-MANAGER).

SCHOLARSHIPS TENABLE THE PANDIT DEEN DAYAL PETROLEUM UNIVERSITY FOR THE ACADEMIC YEAR 2015/16.

The Pandit Deen Dayal Petroleum University (PADPU) is offering scholarships in the fields of Petroleum Management, Petroleum Technology, Liberal Arts and Solar Energy on fulltime basic at Undergraduate, Post-Graduate levels and PhD courses.
MODE OF APPLICATION
Application will be online ,Eligible and interested candidates are strongly advised to contact the below mentioned addresses for further details
Please note that selection will be undertaken by the Pandit Deen Dayal at Petroleum University.
Issued by:
Ministry of Education and Vocational Training,
7 Magagoni Street,
Post Code 11479,
P.O. Box 9121,

DAR ES SALAAM

JOB VACANCIES - SUA

OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA.

Mkaguzi Fahd Masanja (Katikati) akitoa elimu kuhusu Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa mmoja wa wananchi waliotembelea Banda la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi. Kushoto ni Bw. Roy Mchomvu, Mchambuzi wa Mifumo ya Kompyuta wa Ofis ya Taifa ya Ukaguzi.

Bibi Salma Pamui, Mkaguzi wa Idara ya Pensheni (aliyenyanyua mikono) akitoa elimu kuhusu uhakiki wa taarifa za wastaafu kwa mwananchi aliyetembelea Banda la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi. Idara ya Pensheni ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, ni Idara inayohakiki taarifa za wastaafu wote wa Serikali kabla ya kulipwa mafao yao.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...