Sunday, February 12, 2017

JOB VACANCIES - SUZA

LIST OF SUCCESSFUL LOAN APPELLANTS 2016/2017

The Higher Education Students’ Loans Board wishes to announce successful loan appellants. List of students is attached below.
Details of the loan allocations will be available in their respective institutions by end of 13th February, 2017.
Issued by:
EXECUTIVE DIRECTOR
HIGHER EDUCATION STUDENTS’ LOANS BOARD
11th February, 2017.

Saturday, February 11, 2017

HABARI PICHA: KUHAMIA KWA SERIKALI MAKAO MAKUU DODOMA

OFISI ZA MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA NDANI YA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM)
Serikali katika kutekeleza agizo la Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. John P. Magufuri kuwa ofisi zote za serikali zinatakiwa kuhamia Dodoma, na kufuatia Ofisi ya Waziri Mkuu kuwa ilishahamia Dodoma, Wizara zingine zimeshahamia Dodoma ikiwa ni pamoja na Wizara ya Katiba na Sheria, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora ambazo ofisi zao ziko ndani ya Chuo Kikuu cha Dodoma.

Friday, February 10, 2017

UTEUZI WA KAMISHNA MKUU WA MAMLAKA YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA PAMOJA NA KAMISHNA MKUU WA UHAMIAJI


TADB YAANZA KUTEKELEZA MKATABA WA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA MOROCCO

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki Maendeleo ya ya Kilimo Tanzania Bw. Francis Assenga (Katikati) Akiva Kwenye Kupamba Ukuta ya Pamoja baada ya viongozi wa Mikopo Agricole baada Tamwil El Fellah Wakati walipokagua Miradi mbalimbali ya Kilimo baada ya ufugaji katika vijiji Vya MJI wa Khemisset nchini Morocco jana. Kulia Kabisa nai Bw. Albert Ngusaru ambaye Mkurugenzi nai wa wa Hazina baada ya Utafutaji Fedha TADB.


Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) has ilianza kutekeleza kwa vitendo Mkataba wa Ushirikiano wa saini kati ya Serikali ya Tanzania na Morocco wakati wa ziara ya Mfalme wa ziara Morocco Mtume Mohammed VI wa Tanzania kwa mwaliko wa jeshi Rais wa Jamhuri ya Tanzania , Mhe. Dk John Magufuli Bia katika Oktoba 2016.

Wednesday, February 8, 2017

WAZIRI MHAGAMA: VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA NI YETU SOTE

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akijibu hoja za wabunge mbalimbali waliochangia wakati wa kujadili Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Ukimwi Bungeni Dodoma.

Na mwandishi wetu.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama amesema kuwa mapambano ya kukabiliana na tatizo la Dawa za Kulevya ni jukumu la kila mwananchi na wala sio suala la kuiachia Serikali peke yake.

Ameyasema hayo bungeni jana wakati akijibu hoja za wabunge waliochangia juu ya Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya UKIMWI na Dawa za Kulevya iliyoibua maswali kwa Serikali kuendelea kupambana na wanaoshiriki katika biashara haramu ya dawa za kulevya nchini.


LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...