Friday, February 10, 2017

UTEUZI WA KAMISHNA MKUU WA MAMLAKA YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA PAMOJA NA KAMISHNA MKUU WA UHAMIAJI


TADB YAANZA KUTEKELEZA MKATABA WA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA MOROCCO

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki Maendeleo ya ya Kilimo Tanzania Bw. Francis Assenga (Katikati) Akiva Kwenye Kupamba Ukuta ya Pamoja baada ya viongozi wa Mikopo Agricole baada Tamwil El Fellah Wakati walipokagua Miradi mbalimbali ya Kilimo baada ya ufugaji katika vijiji Vya MJI wa Khemisset nchini Morocco jana. Kulia Kabisa nai Bw. Albert Ngusaru ambaye Mkurugenzi nai wa wa Hazina baada ya Utafutaji Fedha TADB.


Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) has ilianza kutekeleza kwa vitendo Mkataba wa Ushirikiano wa saini kati ya Serikali ya Tanzania na Morocco wakati wa ziara ya Mfalme wa ziara Morocco Mtume Mohammed VI wa Tanzania kwa mwaliko wa jeshi Rais wa Jamhuri ya Tanzania , Mhe. Dk John Magufuli Bia katika Oktoba 2016.

Wednesday, February 8, 2017

WAZIRI MHAGAMA: VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA NI YETU SOTE

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akijibu hoja za wabunge mbalimbali waliochangia wakati wa kujadili Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Ukimwi Bungeni Dodoma.

Na mwandishi wetu.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama amesema kuwa mapambano ya kukabiliana na tatizo la Dawa za Kulevya ni jukumu la kila mwananchi na wala sio suala la kuiachia Serikali peke yake.

Ameyasema hayo bungeni jana wakati akijibu hoja za wabunge waliochangia juu ya Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya UKIMWI na Dawa za Kulevya iliyoibua maswali kwa Serikali kuendelea kupambana na wanaoshiriki katika biashara haramu ya dawa za kulevya nchini.


Monday, February 6, 2017

ORODHA YA WADAIWA SUGU WA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU HII HAPA.

Kupata majina ya wadaiwa sugu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu  bofya "link" ya hapo chini
Bofya hapa (Click here)

SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA AJIRA KWA VIJANA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akiwasilisha hoja katika mkutano wa Tano wa Bunge linaloendelea Mjini Dodoma.
Na mwandishi wetu.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama amesema kuwa Serikali imejipanga kusaidia vijana kutambua na kuchangamkia fursa mbalimbali za ajira zilizopo nchini ili kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira na  kutimiza adhma ya kuleta maendeleo hususani kwa vijana.

Mhe. Mhagama ameyasema hayo jana wakati akijibu hoja ya Mbunge wa Kinondoni Mhe. Maulid Mtulia iliyohoji juu ya jitihada za Serikali katika kutatua tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana wakati wa Mkutano wa Tano wa Bunge unaoendelea Mkoani Dodoma.

Katika Mkutano huo Mhe. Waziri alisisitiza kuwa Serikali ina mipango na mikakati madhubuti inayokusudiwa yakusaidia vijana wa Kitanzania ili kujiletea maendeleo yao wenyewe na kuondokana na umasikini.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...