Thursday, May 21, 2015

KINYEREZI I KUKAMILIKA MWAKA HUU.

Meneja Mradi wa Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Simon Jilima  (kulia)  akitoa maelezo kuhusu hali ya maendeleo ya mradi kwa wanajopo la ukaguzi kutoka Ofisi ya Raisi Tume ya Mipango, pichani ni  Bibi. Florence Mwanri (Katikati), Ndg, Robert  Masatu na  Ndg. Aloce Shayo, kwa mfuatano.

Na Oyuke Phostine Filemon 
Kituo cha kuchakata na kuzalisha umeme kwa njia ya gesi cha Kinyezi I kimekamilika kwa asilimia 88 na kinatarajiwa kuzalisha umeme kuanzia Septemba mwaka huu.

Hayo yalisemwa na Meneja Mradi wa Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Simon Jilima akiwatembeza katika kituo hicho wanajopo la ukaguzi wa miradi kutoka Ofisi ya Raisi Tume ya Mipango walipotembelea mradi huo.   

“Kazi zinazoendelea kwa sasa ni ufungaji wa mifumo katika mitambo; na njia za kusafirisha umeme msongo wa kV 220 kutoka Kinyerezi hadi Kimara na kV 132 Kinyerezi hadi eneo la viwanda la Gongolamboto, alisema Mhandisi Jilima.

Monday, May 18, 2015

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES TANESCO (INTERNAL & EXTERNAL ADVERTISEMENT)

Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanians. Next to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efficient, customer focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the largest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company is investing heavily in its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital. TANESCO now invites applicants who are self-motivated, honest, hardworking and committed individuals to fill the under-mentioned posts in the Finance Business Units at Head Office.
Specific attributes for the Positions to be filled:
  1. Must possess excellent business knowledge and leadership skills.
  2. Must be Self-motivated.
  3. Excellent communication skills.
  4. Must be creative, innovative and team working at all time.
  5. Possess excellent interpersonal skills.
  6. Demonstrate highest degree of integrity.
  1. MANAGER INVENTORY & TRANSPORT (1 POST) – JOB01 
  2. Reports To: Senior Manager - General Accounts
Reporting Office: Head Office – Dar Es Salaam.
POSITION OBJECTIVE:
To ensure efficient and effective management of inventory system and Company fleet is well maintained across the Company.
PRINCIPAL ACCOUNTABILITIES:

JOB VACANCIES - JUCO

TAA yashauriwa kuimarisha kiushindani Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere JNIA.

Mshauri Mkaazi wa ujenzi wa jengo la kufikia abiria  katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere akimwonyesha Naibu Katibu Mtendaji- Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Bibi. Florance Mwanri (Kulia) maendeleo mradi huo.
Habari na Oyuke Phostine Filemon 

Uongozi wa Mamlaka za Viwanja vya Ndege Tanzania wameshauriwa kuwa makini katika ujenzi unaoendelea wa jengo la kutua na kupaa ndege katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyere (JNIA).

Ujenzi huo unaotarajiwa kuongeza uwezo wa uwanja wa mara tatu zaidi umejikita katika sehemu za maegesho ya magari, sehemu ya abiria kupumzika, sehemu za abiria kupandia na kushuka kwenye ndege, ofisi za uhamiaji na huduma zingine muhimu.

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - UTUMISHI.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...