Thursday, May 14, 2015

JOB VACANCIES - TANAPA

Click here (Bofya hapa)

TUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM

Pichani meli ikipakua shehena ya mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam.
Meneja wa Mipango na Mikakati wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, Bw. Ntandu Mathayo (Kulia) akiukaribisha ugeni kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango walipokwenda kujionea maendeleo ya miradi ya kimkakati inayotekelezwa katika Bandari ya Dar es Salaam. Kushoto ni Kiongozi wa Msafara huo, Bibi Florence Mwanri. Wengine pichani ni Bw. Aloyce Andrea (Wapili Kushoto), Bw. Robert Senya (Katikati) na Bw. Abel Shirima.  

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...