Monday, November 3, 2014

JOB VACANCIES - BOT.

JOB VACANCIES ADVERTISEMENT - TIRDO

JOB VACANCIES FOR DRIVERS - DAWASCO

Jaji Mstaafu Warioba adhalilishwa mdahalo wa Katiba

Waziri Mkuu mstaafu Joseph Warioba akisaidiwa kutolewa katika vurugu
Katika mazingira ya kutatanisha, siku ya Jumapili vurugu zimekatisha mdahalo uliokuwa ukiendelea kujadili mchakato wa katiba mpya ya Tanzania huku baadhi ya watu wakipigwa na kujeruhiwa.
Mdahalo huo uliokuwa ukitangazwa moja kwa moja kupitia redio na televisheni ulivurugika kutokana na kundi la vijana wapatao 20 kuanza kumzomea aliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, alipokuwa akiwasilisha mada yake.

EXPECTED GRADUANTS 2013/2014 - SAUT.

Click here (Bofya hapa)

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...