Monday, September 15, 2014

UCHAGUZI CHADEMA, MH FREEMAN AIKAEL MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI TAIFA .


MATOKEO YA UCHAGUZI  

MWENYEKITI 
Mh Freeman Mbowe amepata kura 789
Mh Gambaranyere Mwangateka amepata kura 20

MAKAMU BARA
Prof Abdallah Safari amepata kura 775
Hakuwa na Mpinzani

MAKAMU ZANZIBAR
Mh Said Issa Mohamed amepata kura 645
Mh Hamad  Yusuph amepata kura 163


Friday, September 12, 2014

Oscar Pistorius hatiani kwa kuua bila kukusudia.

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya
Akitoa uamuzi wake Jaji Thokozile Masipaal alisema kuwa mwanariadha huyo alimuua Reeva kwa bahati mbaya alipofyatua risasi kupitia kwa mlango wake wa choo akiwa katika hali ya mshtuko akidhani kuwa jambazi alikuwa amevamia nyumba yake.
Alisema kuwa upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha kuwa Pistorius alinuia kumuua Steenkamp nw akutekeleza mauaji hayo kwa kusudi.
Pia alipatikana na hatia ya kosa la kutumia silaha yake visivyo alipokwenda mgahawani.
Chanzo:BBC

JOB VACANCY - PPF

CLICK HERE

NEW SELECTED CANDIDATES - CUHAS (BUGANDO)


CLICK HERE (BOFYA HAPA)

KUITWA KWENYE USAILI - BUGANDO MEDICAL CENTRE.


LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...