Thursday, September 11, 2014

Pistorius hakukusudia kuua - Mahakama yasema

Pistorius amekana kumuua mpenzi wake kwa maksudi
Jaji anayetoa uamuzi katika kesi ya mauaji inayomkabili Oscar Pistorius, amesema upande wa mashitaka umekosa kuthibitishia kikamilifu shitaka kuu la kwanza dhidi ya Pistorius kuwa alikusudia kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Hata hivyo jaji huyo Thokozile Masipa amepinga ushahidi wa upande wa utetezi kwamba mwanariadha huyo hakunuia kutenda uhalifu alipomuua mpenzi wake Reeva.

JOB VACANCIES - MEFMI.

LIST OF CANDIDATES SELECTED TO BE SPONSORED BY THE MINISTRY OF HEALTH & SOCIAL WELFARE - 2014/2015.



JOB VACANCIES - TRA.

BOFYA HAPA (CLICK HERE)

Wednesday, September 10, 2014

EMPLOYMENT OPPORTUNITY -TBS

Tanzania Bureau of Standards (TBS) is Tanzania’s sole standards body, formerly established by the Standards Act No. 3 of 1975, which was repealed and replaced by the Standards Act No. 2 of 2009. It is a Parastatal Organization under the Ministry of Industry and Trade. The Bureau is looking for suitably, qualified, competent and committed Tanzanians to fill the following one vacancy:

Office Assistant II (1 Post)
Qualifications and Experience
• Holder of Certificate of Secondary Education with passes in English, Kiswahili and Mathematics, also must have relevant Certificate in Office Management skills from recognized Institution.
• One year relevant working experience is a must.
Duties and Responsibilities
• Cleaning, dusting and washing floors and walls in specific offices
• Movement of files and other documents to destinations in and out of the Bureau
• Shift materials from one destination to another
• Assisting Record Management Assistants in addressing outgoing mail
• Assisting in filing documents and maintaining records of file movements
• Any other duties as may be assigned by the Head of Section.
Age limit
• Between 25 to 30 years old

SCHOLARSHIPS TENABLE IN UK, 2014/2015

SCHOLARSHIPS - IRISH EMBASSY

JOB VACANCIES - NM-AIST


Mkutano wa Maafisa Mipango kufanyika Oktoba, 2014.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitoa taarifa ya kufanyika kwa Mkutano wa Maafisa Mipango unaotarajiwa kufanyika Mwezi wa Oktoba mwaka huu. Kulia ni Mchumi Mkuu (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bw. Omary Juma.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...