Thursday, July 17, 2014

KAULI YA ZITTO KABWE JUU YA MKATABA WA GESI WA STATOIL NA TANZANIA.

Swali kwa TPDC: Kwanini Makubaliano ni tofauti na Mkataba Elekezi (Model PSA)?
Baada ya kuvuja kwa Mkataba wa kutafuta na kuzalisha Gesi Asilia (PSA) kati ya Serikali kupitia TPDC na Kampuni ya Norway ya StatOil na baada ya baadhi ya wachambuzi kuhoji kuhusu mkataba huo, Shirika la TPDC limetoa maelezo yake. Sio mara moja, sasa ni mara ya tatu. Kimsingi TPDC wanasema wachambuzi waliochambua nyongeza hiyo ya Mkataba hawana uelewa wa mambo haya na wanaleta siasa. Nadhani ni muhimu TPDC wakajikita katika kueleza kwa lugha ambayo wananchi wa kawaida wataelewa badala ya kusingizia uelewa wa watu katika masuala haya. Wizara ya Nishati na Madini haina uelewa wa pekee wa masuala ya Mafuta na Gesi kama wanavyotaka umma uamini. Kuna watanzania wengi tu wenye kufuatilia mambo haya na wenye uwezo mpana hasa katika masuala ya kodi katika tasnia hii. Ni wajibu wa TPDC kutoa maelezo yasiyo changanya wananchi na bora zaidi waweke mikataba hii ya Gesi na Mafuta wazi. Maelezo yaliyotolewa na TPDC mpaka sasa hayaeleweki na yana lengo la kuwachanganya wananchi kama sio kuwaongopea.
Swali la Msingi

POSTGRADUATE ADMISSION 2014 - SAUT.

KATIBA MPYA KATIKA KATUNI.


MATOKEO YA UALIMU - 2014

BOFYA HAPA

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014 HAYA HAPA.

BOFYA HAPA

Wednesday, July 16, 2014

JOB VACANCIES - TANESCO.

Open Position:                    Electrical Technician (6 Posts)

Reporting Office:                  TANESCO - Arusha and its districts
Reports To:                            Emergency Engineer/ District Managers
Start Date:                             One month after the initial advertisement.

Background - TANESCO                http://www.tanesco.co.tz
Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanians. Next to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efficient, customer focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the largest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company is investing heavily in its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital. TANESCO now invites applicants from amongst Tanzania nationals who are self-motivated, honest, hardworking and committed individuals to fill the under-mentioned posts in Arusha, Monduli, Loliondo,Longido, and Mererani
POSITION OBJECTIVE

JOB VACANCY - TANZANIA POSTAL BANK

JOB VACANCIES ADVERTISMENT - EWURA

New Selected Candidates for MPH and M.MED 2014-2015 - BUGANDO

CLICK HERE

JOB OPPORTUNITIES - NELSON MANDELA UNIVERSITY.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...