Tuesday, January 28, 2014

JOB VACANCIES - TCRA.

RAIS AAMURU JESHI KUSIMAMIA UTOAJI HUDUMA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MOROGORO

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua Daraja la Mto Mkundi mkoani Morogoro linalokarabatiwa baada ya kuharibiwa na mafuriko hivi karibuni.Rais Kikwete alitembelea eneo hilo na sehemu nyingine zilizokumbwa na mafuriko hayo kujionea uharibifu. Picha na Freddy Maro wa Ikulu.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi la Ulinzi na
Usalama, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameliamuru Jeshi la Wananchi wa
Tanzania (JWTZ) kuanza mara moja kazi ya kusimamia utoaji huduma kwa watu
walioathiriwa na mafuriko katika Mkoa wa Morogoro, ikiwa ni pamoja na kusimamia
ujenzi wa nyumba za muda wa wahanga hao.

JOB VACANCIES - POSTAL BANK, DEADLINE 31st JAN,2014.

JOB VACANCIES - THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA.

Wednesday, January 22, 2014

JOB OPPORTUNITY - TBS.


JOB OPPORTUNITY.
Tanzania Bureau of Standards is pleased to announce the following vacant position which is a one year contract for prospective and potential candidates to apply. The contract is renewable upon satisfactory performance.
  1. JOB TITLE : QUALITY ASSURANCE OFFICER II ( ELECTRICAL ENGINEERING)
 Qualifications and Experience
  • BSc in Electrical Engineering from a recognized institution of higher learning
  • A MSc. in Electrical Engineering will be an added advantage
  • Two years experience in testing of samples in laboratory.
  • Computer knowledge is an essential requirement
  • Age limit: Not exceeding 30 years.

Tuesday, January 14, 2014

Ronaldo Mchezaji bora wa dunia 2013.

Christian Ronaldo
Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo jana usiku alinyakua tuzo ya mchezajii bora wa soka wa fifa wa mwaka 2013 na kuwashinda Lionel Messi wa Barcelona na Frank Ribery wa Bayern Munich.
Ronaldo ambaye alinyakuwa tuzo hiyo ya mchezaji bora wa dunia kwa mara kwanza mwaka 2008 alitangazwa kunyakua tuzo mwaka 2013 baada ya kupigiwa kura na makocha, manahodha na waandishi wa habari.
Kwa mujibu wa matokeo Ronaldo alipata kura 1365 akimshinda Messi aliyepata kura 1,205 na Ribery akiambulia kura 1,127.
Kwa upande wa wanawake golikipa wa Ujerumani Nadine Angerer alinyakuwa tuzo ya fifa ya mchezaji bora wa soka kwa upande wanawake huku aliyekuwa kocha wa Bayern Munich Jupp Heynckes akinyakua tuzo ya kuwa kocha bora wa dunia.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...