Ligi kuu nchini Uingereza imeanza rasmi Leo kwa mchezo wa ufunguzi ulio wakutanisha Manchester United na Tottenham Hotspers katika uwanja was Oldtraford. Man U wameweza kuanza vizuri kwa kutoka kifua mbele kwa goli 1-0 bao lklilopatikana mnamo dakika ya 22 baada ya Kyle Walker kujifunga.
Saturday, August 8, 2015
Wednesday, August 5, 2015
Friday, July 24, 2015
Thursday, July 23, 2015
Subscribe to:
Comments (Atom)