Monday, May 18, 2015

TAA yashauriwa kuimarisha kiushindani Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere JNIA.

Mshauri Mkaazi wa ujenzi wa jengo la kufikia abiria  katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere akimwonyesha Naibu Katibu Mtendaji- Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Bibi. Florance Mwanri (Kulia) maendeleo mradi huo.
Habari na Oyuke Phostine Filemon 

Uongozi wa Mamlaka za Viwanja vya Ndege Tanzania wameshauriwa kuwa makini katika ujenzi unaoendelea wa jengo la kutua na kupaa ndege katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyere (JNIA).

Ujenzi huo unaotarajiwa kuongeza uwezo wa uwanja wa mara tatu zaidi umejikita katika sehemu za maegesho ya magari, sehemu ya abiria kupumzika, sehemu za abiria kupandia na kushuka kwenye ndege, ofisi za uhamiaji na huduma zingine muhimu.

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - UTUMISHI.

Thursday, May 14, 2015

JOB VACANCIES ADVERT - IHI.

Employment Opportunities - Statoil.

JOB VACANCIES - TANAPA

Click here (Bofya hapa)

TUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM

Pichani meli ikipakua shehena ya mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam.
Meneja wa Mipango na Mikakati wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, Bw. Ntandu Mathayo (Kulia) akiukaribisha ugeni kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango walipokwenda kujionea maendeleo ya miradi ya kimkakati inayotekelezwa katika Bandari ya Dar es Salaam. Kushoto ni Kiongozi wa Msafara huo, Bibi Florence Mwanri. Wengine pichani ni Bw. Aloyce Andrea (Wapili Kushoto), Bw. Robert Senya (Katikati) na Bw. Abel Shirima.  

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...