Wednesday, July 24, 2013

WATANO WAIBUKA NA MILIONI 10 KWENYE PROMOSHENI YA VODACOM YA CHEKA PLUS.

Ofisa wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Humud Abdulhussein(kulia)akihakiki namba ya mmoja ya washindi watano wa Sh Milioni Mbili wa promosheni ya Cheka Plus kutoka kwa Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu.Promosheni hiyo inaendeshwa kila mwezi na Vodacom.
 
Kampuni ya Vodacom Tanzania imeendelea kuboresha maisha ya Watanzania kwa kuwawezesha kujishindia kitita cha Shilingi Milioni 10 kupitia promosheni ya 'Cheka Plus' washindi watano ambapo kila mmoja amejishindia kiasi cha Shilingi Milioni 2 wamepatikana.
 
Meneja Uhusiano wa Umma Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(katikati)akimuonesha Ofisa wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Humud Abdulhussein namba ya simu ya mmoja ya washindi watano wa shilingi Milioni mbili wa Promosheni ya Cheka Plus kwa ajili ya uhakiki.

Ofisa wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Humud Abdulhussein(kulia)akimshuhudia Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kushoto)akiongea na mmoja wa washindi wa Promosheni ya Cheka Plus ambapo washindi watano walijishindia shilingi milioni mbilimbili kila mmoja kupitia Promosheni hiyo kubwa ya mwezi.

Meneja Uhusiano wa Umma Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(katikati)akimuonesha Ofisa wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Humud Abdulhussein namba ya simu ya mmoja ya washindi watano wa shilingi Milioni mbili wa Promosheni ya Cheka Plus.Kulia Samson Mwongela wa Idara ya Masoko Vodacom.
 

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...