Serikali katika kutekeleza agizo la Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. John P. Magufuri kuwa ofisi zote za serikali zinatakiwa kuhamia Dodoma, na kufuatia Ofisi ya Waziri Mkuu kuwa ilishahamia Dodoma, Wizara zingine zimeshahamia Dodoma ikiwa ni pamoja na Wizara ya Katiba na Sheria, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora ambazo ofisi zao ziko ndani ya Chuo Kikuu cha Dodoma.
No comments:
Post a Comment