Friday, April 12, 2013
KIPANYA NA HUDUMA YA MAJI TANZANIA
Katika vijiji vilivyovingi nchini Tanzania havina huduma ya maji safi.
Serikali inatakiwa kuwapa umuhimu na kuwafikiria kwenye huduma hiyo muhimu.
Tafakari,chukua hatua!!!!!!!!
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment