Friday, November 20, 2015
Friday, November 13, 2015
KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO - TBS
2 Inspection Tech - Mechanical Engineering 2
3 Inspection Tech II - Automotive Engineering 2
4 Standards Officer II- Mechanical Engineering 3
5 Inspector II - Mechanical Engineering 3
6 Quality Assurance Officer II - Mechanical Engineering 9
7 Quality Assurance Officer II - Chemical and Process Engineering 7
8 Standards Officer II - Chemical and Process Engineering 1
9 Inspector II - Chemical and Process Engineering 3
10 Standards Officer II - Electronics and Telecom Engineering 2
11 Quality Assurance Officer II - Electronics and Telecom Engineering 3
12 Inspector II - Electronics and Telecom Engineering 3
13 Standards Officer II - Electrical Engineering 2
14 Metrology II - Electrical Engineering 2
15 Quality Assurance Officer II - Electrical Engineering 3
16 Lab Tech II - Electronics Engineering 1
17 Lab Tech II- Electrical Engineering 2
18 Inspection Tech II - Electrical Engineering 2
19 Lab Tech II - Lab Science and Technology 11
20 Inspection Tech II - General Science 3
21 Inspection Tech II- Maritime Science and related 4
22 Quality Assurance Officer II - Computer Science 2
23 Inspection Tech II- ICT or Computer Science 5
24 Legal Officer II 2
25 Quality Assurance Officer II – BSc Statistics 2
26 Human Resource Officer II 1
27 Standards Officer II - Chemistry 1
28 Metrology II - Chemistry 1
29 Quality Assurance Officer II - Chemistry 9
30 Inspector II - Chemistry 1
31 Quality Assurance Officer II - Environmental Science 2
32 Marketing Officer II 2
33 Planning Officer II - Project Planning and Mgt 1
34 Planning Officer II - Monitoring and Evaluation 1
35 Standards Officer II - Molecular biology and biotechnology 1
36 Quality Assurance Officer II - Molecular Biology & Biotechnology 2
37 Standards Officer II - Mining Engineering 2
38 Accounts Technician II 5
39 Quality Assurance Officer II - Food Science & Technology 2
40 Inspector II- Food Science and Technology 2
41 Standards Officer II - Nutrition Science 1
42 Quality Assurance Officer II - Agronomy or Agriculture Science 3
43 Standards Officer II - Agriculture General 1
44 Lab Tech II- Civil Engineering 2
45 Inspection Tech II- Civil Engineering 2
46 Quality Assurance Officer II - Civil Engineering 7
47 Standards Officer II - Civil Engineering 2
48 Inspector II- Civil Engineering 3
49 Procurement Officer II 2
Thursday, November 12, 2015
Tuesday, November 10, 2015
Friday, November 6, 2015
Wednesday, November 4, 2015
Tuesday, November 3, 2015
JOB VACANCIES - JUCO.
- Required Qualifications, Skills and Experience
Lecturer / Research Fellow Grade II
|
JUCO SS
|
| (1) |
| (1) |
- Required Qualifications, Skills and Experience
- Duties
- MSc (Biology, Chemistry, Physics & Mathematics) (2)
Assistant Lecturer / Assistant Research Fellow Grade I
|
JUCOSS
|
Monday, November 2, 2015
Friday, October 30, 2015
Monday, October 26, 2015
Friday, October 23, 2015
Monday, October 19, 2015
Tuesday, October 13, 2015
Monday, October 12, 2015
Thursday, October 8, 2015
Tuesday, September 29, 2015
MATOKEO YA AWALI KWA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA VYUO VYA AFYA 2015/2016
Monday, September 28, 2015
Saturday, September 26, 2015
Tuesday, September 22, 2015
Wednesday, August 26, 2015
Monday, August 24, 2015
Thursday, August 20, 2015
CHADEMA YAZUIWA KUTUMIA UWANJA WA TAIFA.
POSTED THURSDAY, AUGUST 20, 2015 | BY- JULIUS MATHIAS
Serikali imekataa ombi la Chadema la kutumia Uwanja wa Taifa kwa ajili ya kuzindua kampeni zake Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Serikali imekataa ombi la Chadema la kutumia Uwanja wa Taifa kwa ajili ya kuzindua kampeni zake za uchaguzi, ikisema mazingira yaliyopo sasa hayaruhusu eneo hilo kutumika kwa shughuli za kisiasa. Serikali imetangaza uamuzi huo ikiwa ni siku tatu kabla ya kuanza rasmi kwa kampeni za uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani kwa ajili ya Uchaguzi utakaofanyika Oktoba 25. Juzi, kwenye mitandao ya jamii kulienea habari kuwa Chadema, ambayo mgombea wake wa urais, Edward Lowassa amekuwa akivuta maelfu ya watu kwenye mikutano yake, imepanga kutumia uwanja huo unaoweza kuchukua watu 60,000 waliokaa kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni zake Agosti 22. Hata hivyo, Chadema imeshakanusha taarifa kuwa itazindua kampeni zake Agosti 22. Akizungumza na vyombo vya habari jijini jana, Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Assah Mwambene alisema Serikali haijatoa ruhusa kwa chama chochote cha siasa kuutumia Uwanja wa Taifa kwa ajili ya shughuli za kisiasa na kwamba hakuna chama kitakachoruhusiwa kufanya hivyo. “Tulipata barua ya Chadema kuomba kutumia Uwanja wa Taifa kwa ajili ya kuzindua kampeni zao, tayari tumeshawaandikia kuwaarifu kuwa uwanja ule hauwezi kutumika kwa ajili ya shughuli zozote za kisiasa,” alisema Mwambene. Alieleza kuwa Serikali imeamua kwamba uwanja huo uendelee kutumika kwa shughuli za kimichezo ili kuepuka mihemko na athari yoyote inayoweza kujitokeza kutokana na hamasa za kisiasa. “Uamuzi huu unalenga kuweka uwanja katika mazingira rafiki ya michezo na kuepuka athari zozote zinazoweza kujitokeza,” alisema Mwambene. Akizungumzia uamuzi huo, Ofisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene alisema kilichofanywa na Serikali hakijaathiri chochote kwenye maandalizi ya harakati za chama hicho kufanya uzinduzi wa kishindo ili kukidhi matarajio ya Watanzania wanaokiunga mkono. Alisema kilichotangazwa na Mwambene kimetokana na uelewa mdogo wa masuala ya demokrasia na masuala makubwa yenye mvuto wa kitaifa na kufafanua kuwa viwanja hivyo hutumika sehemu nyingi duniani kwa kuwa kampeni ni sehemu pekee ambayo wananchi wanapata nafasi ya kuwahoji wagombea kabla hawajawapa ridhaa ya kuwatumikia. “Mwambene haelewi anachokisema. Anatumika kufunika aibu ya CCM ambayo imeona mvuto wake unaendelea kushuka kila siku. Hivyo hawana uhakika wa kujaza wafuasi kwenye eneo kubwa kama lile,” alisema. “Kwa sasa ni Chadema pekee ndiyo inayoweza kuutumia uwanja ule, ndiyo maana CCM wamekimbilia viwanja vya Jangwani ambavyo kwa sasa ni vidogo kutokana na ujenzi wa vibanda vya biashara uliofanyika,” alisema Makene. Alieleza kuwa CCM inatishwa na wingi wa watu wanaojitokeza kuiunga mkono Chadema baada ya kujionea maelfu ya watu wanaoambatana na mgombea wake wa urais hasa kwa kipindi cha kuomba udhamini mikoani. “Tumekuwa tukiambatana na watu wengi sana ambao wamejitolea kuungana nasi kila tunapokwenda. Tunajipanga kufanya uzinduzi mkubwa eneo jingine na hii inaweza isifanyike Agosti 22, kila chama kinaweza kikaanza siku kinachoona inafaa kwake,” alisema.