Showing posts with label AJIRA. Show all posts
Showing posts with label AJIRA. Show all posts

Thursday, June 6, 2013

TANGAZO LA AJIRA 2013/2014 - JESHI LA POLISI



                                                     TANGAZO LA AJIRA
Jeshi la Polisi Tanzania katika mwaka wa fedha 2013/2014 litaajiri vijana kutoka katika makundi yafuatayo: waliomaliza kidato cha nne mwaka 2012, kidato cha sita mwaka 2013, JKT/JKU mwaka 2013 na vyuo vya elimu ya juu mwaka 2013.Taratibu zinakamilishwa ili waliomaliza kidato cha nne na sita na waliojaza fomu za maombi kabla ya kumaliza mitihani yao ya mwisho waitwe kwenye usaili. Usaili wa vijana wa JKT umekamilika mapema mwezi Aprili, 2013.Tangazo hili linawaalika vijana walioko kwenye vyuo vya elimu ya juu nchini watakaohitimu masomo hivi karibuni na wanaopenda kujiunga na Jeshi la Polisi kujaza fomu za maombi zinazopatikana kwenye tovuti ya Polisi kwa anuani www.policeforce.go.tz Fomu za waombaji baada ya kujazwa kikamilifu ziletwe na mkuu wa chuo kabla ya tarehe 30/6/2013 kwa:
Inspekta Jenerali wa Polisi,
Makao Makuu ya Polisi,
S.L.P. 9141,
DAR ES SALAAM.
Fani zinazotakiwa ni; Shahada za Menejimenti ya Rasilimali watu, Utawala, Uchumi, Usimamizi wa Sheria na Utekelezaji(BaLE), Ualimu, Sosholojia, Saikolojia na Ushauri Nasihi(Educational Psychology and Councelling),Takwimu, Lugha(Kiswahili/Kiingereza/Kifaransa/Kireno/Kiarabu), Usimamizi wa Programu za Maendeleo ya Jamii, Uhusiano wa Kimataifa, Uhandisi Mitambo(Mechanical Engineering), Uhandisi Kompyuta(Net Work, System Analyst, Data Base, Electronic & Telecommunications), Uandishi wa Habari, Mawasiliano ya Umma, Upangaji na Uendeshaji miradi, Jinsia na Watoto. Pia stashahada katika Usimamizi wa programu za maendeleo ya Jamii, Utunzaji kumbukumbu na Ukutubi.
Sifa za Muombaji:
  • Awe raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  • Awe na umri usiozidi miaka 28.
  • Awe na tabia njema.
  • Awe hajawahi kushtakiwa kwa kosa la jinai.
  • Awe na afya njema.
  • Awe hajaoa/hajaolewa au kuwa na mtoto.
  • Awe tayari kufanya kazi popote ndani na nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  • Asiwe na alama za kuchora mwilini(Tatuu).
  • Awe hajawahi kutumia madawa ya kulevya na
  • Awe tayari kuhudhuria mafunzo ya Polisi.
Imetolewa na:
Ofisi ya Inspekta Jenerali wa Polisi,
Makao Makuu ya Polisi,
S.L.P. 9141,
DAR ES SALAAM.

Monday, June 3, 2013

JOB VACANCIES - NATIONAL HOUSING CORPORATION.

NATIONAL HOUSING CORPORATION
                                                        JOB OPPORTUNITY
National Housing Corporation (NHC) is inviting applications from suitably qualified candidates to fill the position of manager in its Directorate of Business Development.

BUSINESS DEVELOPMENT MANAGER (1 POST) (Ref.No. DBM/02)
The Business Development Manager (BDM) reports to the Director of Business Development and has overall responsibilities for management and coordination of potential new business opportunities, thus generate information that facilitate decision making process. The decision parameters should be based on real estate market trends, market demands, trends and economic patterns that support strategic and tactical decisions for the National Housing Corporation (NHC).


Wednesday, May 29, 2013

VACANCIES ANNOUNCEMENT - MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL


MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL
VACANCIES ANNOUNCEMENT

1.0 MEDICAL SPECIALIST I (5 POSITIONS)
1.1 Reports to: Head of Firm
1.2 Duties and Responsibilities
 To participate in the planning and implementation of quality improvement strategies.
 To coordinate preparation of department budget input.
 To review inputs for, and coordinate preparation of periodical reports.
 To carry out operational and investigative research and issue reports accordingly.
 To review conditions of hospitalized staff and advise on appropriate medication.
 To supervise patients’ case presentation and participate in training other staff.
 To plan and carry out research.
 To attend to IPPM Clinics.
 To set performance targets for all staff in the unit and ensure that all staff have elaborate job plans.
 To supervise, appraise staff and identify development and training needs.
 To perform any other duty assigned from time to time by the supervisor.
1.3 Required Qualifications
 Holder of three or more years Postgraduate Degree (M.Med/M.Dent.) in one of the medical fields.
 Must be registered with the Medical Council of Tanganyika
 Mmust have worked as a specialist Medical Doctor for not less than three years
 Must have published not less than two research papers in their areas of specialization in the last six years, one of which he must be the principal author.
 Must be computer literate

2.0. MEDICAL SPECIALIST II (57 POSITIONS)
 Cardiac Anesthesiologists – 6 positions
 Surgeons - Training - 4 positions
 Cardiothoracic Surgery Trainees - 6 positions
 Cardiac Surgeons(Adults /Paediatric - 8 positions
 Vascular Surgeons - 2 positions
 Paeditricians –Training - 2 positions
 Physicians –Training - 2 positions
 Paediatric Cardiologist (Trainees ) - 10 positions
 Adult Cardiologists - 6 positions
 Anesthesiologists-Training - 2 positions
 Other specialties - 9 Positions
2.1 Reports to: Head of Firm
2.2 Duties and Responsibilities
 To provide routine specialized medical services for in-patients and out patients in their areas of specialization.
 To participate in the training of student doctors in their areas of specialization.
 To plan, supervise and evaluate medical services offered in their respective fields.
 To prepare periodic reports regarding medical services
 To carry out research in the medical field and publish results for use by other experts.
 To supervise junior medical doctors and give them needed technical advice in their respective areas of specialization.
 To plan and supervise outreach programmes in their areas of specialization.
 To carry out any other duties as assigned from time to time by their supervisors.
2.3 Required Qualifications
Holder of Doctor of Medicine degree with three or more years Masters Degree in one of the medical fields.
Must be registered with the Medical Council of Tanganyika.

Monday, May 27, 2013

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA LGTI-HOMBOLO, TAREHE 27-05-2013

Usaili wa ana kwa ana kwa kada za Tutorial Assistant-Community Development, Tutorial Assistant-Human Resources Management na Janitor utafanyika kesho chuoni, LGTI- Hombolo, Dodoma. kuanzia saa moja kamili asubuhi.
Wasailiwa wanatakiwa kufika na vyeti halisi (ORIGINAL CERTIFICATES)

TUTORIAL ASSISTANT-COMMUNITY DEVELOPMENT
EXAMINATION NUMBER     SCORES  REMARKS
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2003    81    SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2006    77    SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2002    71    SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2016    70    SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2011    65    SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2020    62    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2023    62    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2028    62    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2010    61    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2012    61    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2021    61    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2018    60    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2024    56    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2001    53    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2008    53    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2029    53    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2027    50    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2030    50    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2000    42    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2019    38    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2009    32    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2014    21    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2025    21    NOT SELECTED


Saturday, May 25, 2013

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE-25-05-2013

Wasailiwa waliochaguliwa kuendelea na usaili kwa Kada ya Internal Auditor II (NAO) wanatakiwa kufika katika chuo cha uhasibu (Tanzania Institute of Accountancy-TIA) tarehe 27-05-2013 saa moja na nusu asubuhi, kwa ajili ya usaili wa vitendo (PRACTICAL)
Wasailiwa waliochaguliwa kuendea na usaili kwa kada ya Computer Systems Analyst-(e-GA) wanatakiwa kufika katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira (Maktaba kuu ya Taifa) tarehe 27-05-2013 saa moja na nusu asubuhi, kwa ajili ya usaili wa ana kwa ana
Wasailiwa waliochaguliwa kuendelea na usaili kwa kada ya Chemical Laboratory Technologist-(GCLA) wanatakiwa kufika katika ofisi za GCLA tarehe 27-05-2013 saa moja na nusu asubuhi kwa ajili ya usaili wa ana kwa ana.

Na matokeo kamili ni:-
S/N EXAM NUMBER         SCORE REMARKS
1 PSRS AUD II NAO - 0520 96.00 SELECTED
2 PSRS AUD II NAO - 0513 95.00 SELECTED
3 PSRS AUD II NAO - 0701 93.00 SELECTED
4 PSRS AUD II NAO - 0498 92.00 SELECTED
5 PSRS AUD II NAO - 0174 90.00 SELECTED
6 PSRS AUD II NAO - 0869 90.00 SELECTED
7 PSRS AUD II NAO - 0574 87.00 SELECTED
8 PSRS AUD II NAO - 0780 87.00 SELECTED
9 PSRS AUD II NAO - 0266 86.00 SELECTED
10 PSRS AUD II NAO - 0194 85.00 SELECTED
11 PSRS AUD II NAO - 0197 85.00 SELECTED

Thursday, May 23, 2013

CALL FOR INTERVIEW- IMMIGRATION

http://immigration.go.tz/downloads/TANGAZO%20LA%20KUITWA%20KWENYE%20USAILI-%202013%20-%20KIZUNGU%201.pdf

NAFASI ZA KAZI - UTUMISHI ZILIZOTANGAZWA 22.05.2013..

http://www.ajira.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_details&Itemid=0&gid=147
Bofya link hapo juu kujua nafasi zilizotangazwa kwenye Taasisi zifuatazo: The Commission for Mediation and Arbitration (CMA), Forestry Training
Institute ( FTI), Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC), National Museum Of
Tanzania (NMT), Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS), Dar es
Salaam Maritime Institute (DMI), Tanzania Airports Authority (TAA) and Sokoine
University of Agriculture (SUA) na ni jumla ya nafasi 171 ziko wazi zinahitaji kujazwa.

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA CHUO KIKUU MZUMBE 23-05-2013.

USAILI WA ANA KWA ANA UTAFANYIKA TAREHE 24-05-2013 CHUO KIKUU CHA MZUMBE-MAIN CAMPUS-MOROGORO KUANZIA SAA MOJA NA NUSU ASUBUHI
WASAILIWA WANATAKIWA KUFIKA NA VYETI HALISI (ORIGINAL CERTIFICATES
1. SUPPLIES ASSISTANT
EXAM NUMBER                 SCORES    REMARKS

PSRS SUP ASS MU - 1162     68.00     SELECTED
PSRS SUP ASS MU - 1158     61.20     SELECTED
PSRS SUP ASS MU - 1164     57.20     SELECTED
PSRS SUP ASS MU - 1166     24.00     NOT SELECTED

2. ASSISTANT ACCOUNTANT
EXAM NUMBER             SCORES    REMARKS
PSRS ASS ACC MU-1153     75     SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1105     70     SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1104     60     SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1110     60     SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1155     50     SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1101     45     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1097     45     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1124     45     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1125     45     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1130     45     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1100     40     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1102     40     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1106     40     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1115     40     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1127     40     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1137     30     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1094     20     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1114     20     NOT SELECTED
PSRS ASS ACC MU-1148     20     NOT SELECTED

EMPLOYMENT OPPORTUNITY - SHUWASA



SHINYANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (SHUWASA)

EMPLOYMENT OPPORTUNITY.

The management of SHUWASA is looking for qualified, competent, dynamic and committed Tanzanians to fill the following vacancies:-

1. INTERNAL AUDITOR

The successful candidate will be reporting to the Managing Director and will be performing his/her duty according the international Auditing standards.


Wednesday, May 22, 2013

Matokeo ya Usaili wa Mchujo-TEA, 21 Mei 2013 .

EXAMINATIONS RESULTS FOR INFORMATION, EDUCATION AND COMMUNICATION OFFICER TANZANIA EDUCATION AUTHORITY (TEA)

Usaili wa ana kwa ana utafanyika tarehe 22-05-2013, saa moja na nusu asubuhi, katika ofisi za Tanzania Institute of Education-(TIE) Dar es Salaam.  
       
SN    EXAM NUMBER                          SCORE        REMARK
1      PSRS INFO ED COMM TEA -1066      82      SELECTED FOR ORAL INTERVIEW
2      PSRS INFO ED COMM TEA -1071      76      SELECTED FOR ORAL INTERVIEW
3      PSRS INFO ED COMM TEA -1058      75      SELECTED FOR ORAL INTERVIEW

4      PSRS INFO ED COMM TEA -1059      69      SELECTED FOR ORAL INTERVIEW
5      PSRS INFO ED COMM TEA -1067      69      SELECTED FOR ORAL INTERVIEW
6      PSRS INFO ED COMM TEA -1069      68      NOT SELECTED
7      PSRS INFO ED COMM TEA -1072      66      NOT SELECTED
8      PSRS INFO ED COMM TEA -1070      64      NOT SELECTED
9      PSRS INFO ED COMM TEA -1064      60      NOT SELECTED
10    PSRS INFO ED COMM TEA -1057      59      NOT SELECTED
11    PSRS INFO ED COMM TEA -1060      58      NOT SELECTED
12    PSRS INFO ED COMM TEA -1062      56      NOT SELECTED
13    PSRS INFO ED COMM TEA -1063      54      NOT SELECTED
14    PSRS INFO ED COMM TEA -1068      46      NOT SELECTED
15    PSRS INFO ED COMM TEA -1061      23      NOT SELECTED

Friday, May 17, 2013

KUITWA KAZINI KWA WALIOFANYA USAILI TAREHE 06-13 APRILI,2013.

                                                                 KUITWA KAZINI
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwaarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 06 hadi 13 Aprili, 2013 kuwa walioorodheshwa katika tangazo hili wamefaulu usaili na wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri kama ilivyoonyeshwa katika tangazo hili. Aidha, wanatakiwa kuripoti katika vituo vyao vipya katika muda ambao umeainishwa katika barua zao za kupangiwa vituo vya kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals) vya masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya ajira. Barua za kuwapangia vituo vya kazi zimetumwa kupitia anuani zao. Aidha, wale ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa maombi yao hayakufanikiwa na wasisite kuomba mara nafasi za kazi zitakapotangazwa tena.
http://ajira.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_details&Itemid=0&gid=143

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA KAZI - MZUMBE UNIVERSITY.

Kwa tangazo, tarehe na majina fungua link ifuatayo:

http://ajira.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_details&Itemid=0&gid=145

Tuesday, May 14, 2013

JOB VACANCIES - DAWASCO.


DAWASCO is a Public Corporation which was established to provide Water and Sewerage Services to the City of Dar Es Salaam and some parts of Coast Region. Currently it has vacancies in its Finance and Commercial Departments which has to be filled immediately.


Applications are now invited from suitable qualified candidates to fill in the following Posts:-    




EMPLOYMENT OPPORTUNITY- MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGORO.

 
MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGORO
P.O. BOX 1031 Morogoro, Tanzania
Tel: +255 23 2600256 Fax: +255 23 2600286
E-mail address:mum@mum.ac.tz
Website: www.mum.ac.t
EMPLOYMENT OPPORTUNITY
The Muslim University of Morogoro is a private institution of higher learning established
in October 2004 by the Muslim Development Foundation. It was established by a
Charter on 23rd October 2004 and it is fully registered by Tanzania Commission for
Universities.
The Muslim University of Morogoro would like to recruit a qualified, self– motivated, experienced and qualified person to fill the following vacant position:
 
JOB TITLE: Examination Officer
Applicants should posses the following criteria.
 

Friday, May 10, 2013

JOB VACANCIES - MWAUWASA

Tangazo la Kazi ya AM-MIS, AM-SO and AM-MCS

Date: 
Tuesday, May 7, 2013

MWANZA URBAN WATER AND SEWERAGE AUTHORITY     

EMPLOYMENT OPPORTUNITY


Mwanza Urban Water and Sewerage Authority (MWAUWASA) is one of the competitively best Authorities in the Tanzanian water sector supplying clean and safe water and efficient sewerage services for the residents of Mwanza City, its suburbs and other areas of jurisdiction. The Authority is hereby inviting applications from suitably qualified and experienced, dynamic and motivated Tanzanians to fill the understated vacancies that currently exist in the Authority:

Click Read more to continue.


JOB VACANCIES - MBEYA UWSA


NAFASI ZA KAZI WIZARA YA AFYA - MUDA WA KUPOKEA MAOMBI WAONGEZWA.


Wizara ya afya imeongeza muda wa kupokea maombi ya nafasi za kazi hadi tarehe 20.05.2013 badala ya tarehe 10.05.2013.
Kwa taarifa zaidi za tangazo hilo la awali soma hapa chini.
                                           
                                           JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA
                                         WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII
                                                            TANGAZO LA KAZI
Katibu Mkuu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii anapenda kuwatangazia nafasi za kazi kwa wote wenye taaluma za Kada za Afya ambao wako tayari kufanya kazi katika Utumishi wa Umma.
Vigezo na Masharti:
1. Awe ni raia wa Tanzania.
2. Awe na umri usiozidi miaka 45.
3. Watumishi wa Kada za Afya waliojiendeleza wakiwa kazini wasitume maombi bali waombe kwa waajiri wao kubadilishwa vyeo kulingana na sifa walizopata.
4. Watumishi ambao walikwishapangiwa vituo vya kazi miaka ya nyuma na hawakuripoti au kuacha kazi hawatapangiwa vituo vya kazi, kwa sababu hawataweza kuingia kwenye ‘Payroll’ ya Serikali.
5. Maombi yote yaambatanishwe na:- Nakala ya Cheti cha Taaluma, Nakala ya Cheti cha Kidato cha nne/sita, Maelezo binafsi (CV), Picha (Passport size mbili) za hivi karibuni, Nakala ya cheti cha usajili.
6. Vyeti vyote vya Taaluma na Kidato cha nne/sita ni lazima vithibitishwe na Hakimu au Wakili anayetambuliwa na Serikali.
7. Waombaji wanatakiwa kuchagua/kupendekeza maeneo matatu (Mikoa na Halmashauri) ambayo wangependa kupangiwa kazi kwa kuzingatia nafasi zilizoainishwa kwenye Kibali (Tazama Tovuti ya Wizara).
2
Waajiri wote wanatakiwa kuharakisha zoezi la kuwaajiri na kuwaingiza kwenye ‘Payroll’ ya Serikali wataalam wote watakaopangiwa vituo vya kazi kwenye mamlaka zao ikiwa ni pamoja na kuwalipa posho za kujikimu kwa wakati ili kuwaondolea usumbufu usio wa lazima watumishi husika.
Aidha, Waajiri wanakumbushwa kukagua na kuthibitisha uhalali wa vyeti vya kidato cha Nne na Sita vya wataalam hao kabla ya kuwaajiri.
Kwa utaratibu wa mwaka huu Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, hatatoa barua za kupangiwa Vituo vya kazi. Majina ya watakaopangiwa vituo vya kazi yatatangazwa kwenye Tovuti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (www.moh.go.tz). Ukiona jina lako kwenye Tovuti au Gazeti nenda karipoti kwenye kituo ulichopangiwa kabla ya tarehe 25 Juni, 2013 ambako taratibu za ajira yako zitakamilishwa.
Maombi yote yatakayowasilishwa kwa mkono au barua pepe hayatafanyiwa kazi.
Barua zote zitumwe kwa njia ya posta kupitia anuani ifuatayo:-
Katibu Mkuu,
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,
S.L.P. 9083,
DAR ES SALAAM.

Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 10 Mei, 2013.
Tangazo hili pamoja na mchanganuo wa nafasi za kazi vinapatikana katika tovuti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (www.moh.go.tz)

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...